Maelezo ya Chini
a Kuna sababu ya kuamini kwamba watu wengi waliokuwepo wakati huo walikuja kuwa Wakristo. Katika barua yake kwa Wakorintho, Paulo anawaita “ndugu zaidi ya mia tano.” Isitoshe, anaongeza hivi: “Walio wengi kati yao wapo mpaka sasa, lakini wengine wamelala usingizi katika kifo.” Hivyo, inaonekana kwamba Paulo na Wakristo wengine wa karne ya kwanza waliwajua watu wengi waliosikia moja kwa moja amri hiyo ilipotolewa.