Maelezo ya Chini
b Eliezeri hatajwi katika simulizi hilo, lakini huenda ndiye mtumishi aliyehusika katika kisa hicho. Wakati mmoja, Abrahamu alikusudia kumrithisha Eliezeri mali zake zote ikiwa hangepata mtoto, hivyo Eliezeri alikuwa mtumishi mwenye umri mkubwa na aliyeaminiwa zaidi na Abrahamu. Mtumishi anayetajwa katika kisa hiki anaelezwa kwa njia hiyo pia.—Mwanzo 15:2; 24:2-4.