Maelezo ya Chini
b Andiko la Ezekieli 37:1-14 na Ufunuo 11:7-12 yanazungumzia kurudishwa katika maana ya kiroho kulikotokea mwaka wa 1919. Hata hivyo, unabii wa Ezekieli ulitabiri kurudishwa kikamili kwa watu wote wa Mungu baada ya kipindi kirefu sana cha utekwa. Kwa upande mwingine, unabii wa Ufunuo unazungumzia kuhusu kikundi kidogo cha ndugu watiwa mafuta ambao walikuwa wakiongoza waliporudishiwa nguvu ili wawe hai kiroho baada ya kipindi kifupi cha kulazimishwa kuwa katika hali ya kutotenda.