Maelezo ya Chini
a Mwandishi James Parkes anasema hivi: “Wayahudi . . . walikuwa na haki ya kuadhimisha sherehe zao. Hilo halikuwa jambo la pekee kwa kuwa ilikuwa kawaida kwa Waroma kuwaruhusu watu wajitawale katika maeneo mbalimbali ya milki hiyo.”