Maelezo ya Chini
a Uthibitisho unaonyesha kwamba Yehova alikusudia mitume 12 wawe “mawe ya msingi kumi na mawili” ya Yerusalemu Jipya la wakati ujao. (Ufu. 21:14) Kwa hiyo, hakukuwa na uhitaji wa kuchagua mtume mwingine achukue mahali pa mtume yeyote mwaminifu ambaye baadaye angemaliza mwendo wake wa kidunia.