Maelezo ya Chini
a Katika makala hii, tutatumia neno “wakimbizi” kurejelea wale ambao wamekimbia kutoka sehemu moja katika nchi yao kwenda nyingine au kwenda nchi nyingine, iwe ni kwa sababu ya vita, mnyanyaso, au majanga. Kulingana na Tume ya Umoja wa Mataifa Inayoshughulikia Wakimbizi (UNHCR), leo “mtu 1 kati ya watu 113” ulimwenguni pote “amelazimishwa kukimbia kutoka mahali anapoishi.”