Maelezo ya Chini
a Yosefu anatajwa kwa mara ya mwisho Yesu alipokuwa na umri wa miaka 12. Yosefu hatajwi Yesu alipofanya muujiza wake wa kwanza wa kugeuza maji kuwa divai, wala katika pindi nyingine yoyote baadaye. Alipokuwa kwenye mti wa mateso, Yesu alimkabidhi mama yake kwa mtume Yohana, jambo ambalo hangefanya ikiwa Yosefu angekuwa hai—Yoh. 19:26, 27.