Maelezo ya Chini
a Biblia inafunua majina ya kibinafsi ya baadhi ya malaika. (Amu. 13:18; Dan. 8:16; Luka 1:19; Ufu. 12:7) Kwa kuwa Yehova ameipa kila nyota jina lake (Zab. 147:4), tunaweza kufikia mkataa kwamba wana wote wa Mungu walio mbinguni, yaani, malaika, kutia ndani Shetani, wana majina ya kibinafsi.