Maelezo ya Chini
a Neno “ndugu” linaweza kutia ndani pia washiriki wa kike wa kutaniko. Paulo aliandika barua yake kwa “akina ndugu” huko Roma. Ni wazi kwamba aliwahusisha akina dada kwa kuwa aliwataja baadhi yao kwa majina. (Rom. 16:3, 6, 12) Kwa muda mrefu, gazeti la Mnara wa Mlinzi limekuwa likiwaita waamini Wakristo kuwa ‘ndugu na dada.’