Maelezo ya Chini
b Profesa John A. Beck anaeleza hivi kuhusu simulizi hilo: “Kulingana na mapokeo ya Kiyahudi, waasi wanamdhihaki Musa kwa kusema hivi: ‘Musa anajua vizuri mwamba huu ni wa aina gani! Ikiwa angependa kuonyesha nguvu zake za kimuujiza, acha atutolee maji kutoka kwenye mwamba huu mwingine.’” Lakini hayo ni mapokeo tu.