Maelezo ya Chini
a Wakati fulani baada ya kuachiliwa huru kutoka gerezani, Yosefu alitambua kwamba Yehova alikuwa ametuliza maumivu yake ya wakati uliopita kwa kumpa mwana. Alimpa mwana wake wa kwanza jina Manase kwa sababu, kama alivyosema: “Mungu amenifanya nisahau taabu yangu yote.”—Mwa. 41:51, maelezo ya chini.