Maelezo ya Chini
a Profesa C. Marvin Pate aliandika hivi: “Kwa kawaida, watu walielewa neno ‘leo’ kuwa linarejelea kipindi hususa cha saa ishirini na nne. Tatizo la uelewaji huo ni jinsi unavyopingana waziwazi na mistari mingine ya Biblia inayoonyesha kwamba Yesu ‘alishuka’ kwenda hadesi alipokufa (Mt. 12:40; Mdo. 2:31; Rom. 10:7) na baadaye akapanda kwenda mbinguni.”