Maelezo ya Chini
b UFAFANUZI WA MANENO: Yehova alitupatia uwezo wa kuchunguza mawazo, hisia, na matendo yetu na uwezo huo hutusaidia kujihukumu ikiwa tumefanya lililo sahihi au lisilo sahihi. Biblia inauita uwezo huo dhamiri. (Rom. 2:15; 9:1) Dhamiri iliyozoezwa na Biblia ni ile inayoongozwa na viwango vya Yehova vinavyopatikana katika Biblia ili kuamua ikiwa mawazo, matendo, au maneno yetu ni mazuri au mabaya.