Maelezo ya Chini
b UFAFANUZI WA MANENO: Upole. Watu walio na sifa ya upole huwatendea wengine kwa fadhili na hubaki wakiwa watulivu hata wengine wanapowakasirisha. Unyenyekevu. Watu wanyenyekevu hawana kiburi au majivuno; wao huwaona wengine kuwa bora kuliko wao. Yehova anaposemwa kuwa mnyenyekevu, inamaanisha kwamba anawatendea kwa upendo na rehema wale walio chini ya mamlaka yake.