Maelezo ya Chini
a Makala hii ni ya kwanza katika mfululizo wa makala nne utakaozungumzia kwa nini tunaweza kuwa na hakika kwamba Yehova anatujali. Makala tatu zilizosalia zitapatikana katika toleo la Mei 2019 la gazeti la Mnara wa Mlinzi. Vichwa vya makala hizo ni “Upendo na Haki Katika Kutaniko la Kikristo,” “Upendo na Haki Katika Ulimwengu Mwovu,” na “Faraja kwa Watu Waliotendewa Vibaya Kingono.”