Maelezo ya Chini
b UFAFANUZI WA MANENO: Sheria 600 na nyingine ambazo Yehova aliwapa Waisraeli kupitia Musa huitwa “Sheria,” “Sheria ya Musa,” na “zile amri.” Zaidi ya hilo, vitabu vya kwanza vya Biblia (Mwanzo hadi Kumbukumbu la Torati) kwa kawaida huitwa Sheria. Nyakati nyingine neno hilo hurejelea Maandiko yote ya Kiebrania yaliyoongozwa na roho ya Mungu.