Maelezo ya Chini
a Tumepewa mgawo wa kuhubiri habari njema ya Ufalme na kufanya wanafunzi. Makala hii itazungumzia jinsi tunavyoweza kutimiza huduma yetu kikamili, hata ikiwa tunapitia hali fulani ngumu za kibinafsi. Pia, tutajifunza jinsi tunavyoweza kufanya kazi yetu ya kuhubiri iwe yenye matokeo zaidi na yenye kuthawabisha zaidi.