Maelezo ya Chini
b UFAFANUZI WA MANENO: Huduma yetu ya Kikristo inatia ndani nyanja mbalimbali za kuhubiri na kufundisha, ujenzi na udumishaji wa majengo yanayotumiwa kwa ajili ya kazi ya kitheokrasi, na kazi ya kutoa misaada wakati wa misiba.—2 Kor. 5:18, 19; 8:4.