Maelezo ya Chini
c Wazee wa makutaniko hawapaswi kuweka sheria zao kuhusu burudani. Badala yake, Mkristo mmoja-mmoja anapaswa kutumia dhamiri yake iliyozoezwa na Biblia anapochagua habari atakazosoma, sinema na vipindi vya televisheni atakavyotazama, au michezo ya video atakayocheza. Vichwa vya familia wenye hekima huhakikisha kwamba burudani zinazofurahiwa na familia zao zinapatana na kanuni za Biblia.—Tazama makala kwenye jw.org/sw yenye kichwa, “Je, Mashahidi wa Yehova Huwakataza Wafuasi Wao Sinema, Vitabu, au Nyimbo Fulani?” kwenye KUTUHUSU > MASWALI YANAYOULIZWA MARA NYINGI.