Maelezo ya Chini
a Makala hii na makala nyingine mbili zitakazofuata, ni sehemu ya mfululizo unaozungumzia sababu zinazotusaidia kuwa na uhakika kwamba Yehova ni Mungu mwenye upendo na haki. Yehova anataka watu wake watendewe kwa haki, na anawafariji wale ambao wametendewa isivyo haki katika ulimwengu huu mwovu.