Maelezo ya Chini
e MAELEZO YA PICHA: Yesu akila chakula katika nyumba ya Farisayo anayeitwa Simoni. Mwanamke fulani, labda ni kahaba, ametoka tu kuosha miguu ya Yesu kwa machozi yake na kuikausha kwa nywele zake na kisha kuimwagia mafuta. Simoni hafurahishwi na matendo ya mwanamke huyo, lakini Yesu anamtetea mwanamke huyo.