Maelezo ya Chini
b Jina “Kitawala” linatokana na neno la Kiswahili linalomaanisha “tawala, ongoza, elekeza.” Kikundi hicho kilikuwa na lengo la kisiasa, yaani, kujikomboa kutoka chini ya minyororo ya utawala wa Ubelgiji. Wafuasi wa kikundi cha Kitawala walipata, walisoma, na kusambaza machapisho ya Mashahidi wa Yehova na kupotosha mafundisho ya Biblia ili yaunge mkono maoni yao ya kisiasa, desturi zao za kishirikina, na maisha yao mapotovu kiadili.