Maelezo ya Chini
a Hata iwe tumemtumikia Yehova kwa muda mrefu kadiri gani, tukiwa Wakristo tungependa kuendelea kukua kiroho na kufanya maendeleo. Mtume Paulo aliwahimiza waamini wenzake wasife moyo kamwe! Barua yake kwa Wafilipi ina kitia-moyo kinachotuchochea tuvumilie tunapoendelea kukimbia katika mbio za uzima. Makala hii itatuonyesha jinsi tunavyoweza kutumia maishani maneno hayo ya Paulo yaliyoongozwa na roho.