Maelezo ya Chini
b Pia, baada ya kufikia umri fulani, ndugu wengi wenye majukumu wamewakabidhi ndugu wenye umri mdogo kuliko wao, majukumu waliyokuwa nayo. Tazama makala, “Enyi Wakristo Wenye Umri Mkubwa Yehova Anathamini Sana Ushikamanifu Wenu,” katika gazeti Mnara wa Mlinzi la Septemba 2018, na “Dumisha Amani ya Akili Licha ya Mabadiliko,” katika gazeti Mnara wa Mlinzi la Oktoba 2018.