Maelezo ya Chini
a Makala hii itazungumzia kwa nini tunapaswa kujitiisha kwa Yehova. Pia, itazungumzia jinsi wazee wa kutaniko, akina baba, na akina mama wanavyoweza kujifunza mengi kutoka kwa mfano wa Gavana Nehemia, Mfalme Daudi, na Maria, mama ya Yesu, kuhusu jinsi ya kutumia mamlaka ambayo wamepewa na Yehova.