Maelezo ya Chini
a Tumejitoa ili kumtumikia Yehova. Lakini je, tumejitoa ili kumwabudu yeye peke yake? Maamuzi yetu maishani yanafunua ikiwa tunafanya hivyo. Acheni tuchunguze mambo mawili maishani mwetu yanayofunua ni kwa kadiri gani tumejitoa ili kumwabudu Yehova..