Maelezo ya Chini
c MAELEZO YA PICHA: HATUA YA 1: Ndugu na dada wakiwasili kwenye Jumba la Ufalme. Wanapokutanika pamoja na waamini wenzao, wanashirikiana pamoja nao mahali ambapo kuna roho takatifu. HATUA YA 2: Wamejitayarisha ili washiriki kwenye mikutano. Hatua hizo mbili zinahusika pia katika utendaji mwingine tuliozungumzia kwenye makala hii, yaani, kujifunza Neno la Mungu, kushiriki katika kazi ya kuhubiri, na kusali kwa Yehova.