Maelezo ya Chini
a Yehova aliandaa mpango wa pekee wa kutangaza uhuru katika Israeli la kale. Ulikuwa Mwadhimisho wa Miaka 50 au Yubile. Wakristo hawako chini ya Sheria ya Musa; hata hivyo, mwadhimisho huo una maana kwetu. Katika makala hii, tutachunguza jinsi ambavyo mwadhimisho huo unatukumbusha maandalizi ambayo Yehova amefanya kwa ajili yetu na jinsi tunavyoweza kunufaika na mpango huo.