Maelezo ya Chini
a Watu wengi wanaamini kwamba Mungu yupo, lakini hawamjui vizuri. Kumjua Yehova kunamaanisha nini, na tunaweza kujifunza nini kutoka kwa Musa na Mfalme Daudi kuhusu jinsi ya kujenga urafiki wa karibu pamoja na Yehova? Makala hii itajibu maswali hayo.