Maelezo ya Chini
a Ni katika hali ya dharura pekee iliyoko wakati huo na ambayo kwa maoni ya daktari, inataka matibabu ya mara hiyo ndipo matibabu yanayoonwa kuwa ya lazima kwa maisha au afya ya mtoto (kutia na mitio ya damu mishipani) yanapoweza kutolewa kihalali bila idhini ya wazazi au mahakama. Bila shaka, ni lazima tabibu atoe hesabu anapotegemea uwezo huo wa dharura ulio katika sheria.