Maelezo ya Chini
a Andiko la mwaka wa 2020 linatutia moyo ‘tufanye wanafunzi.’ Amri hiyo inawahusu watumishi wote wa Yehova. Tunaweza kuchocheaje mioyo ya wanafunzi wetu wa Biblia ili wawe wanafunzi wa Kristo? Makala hii itaonyesha jinsi tunavyoweza kuwasaidia wanafunzi wetu wa Biblia kumkaribia Yehova. Pia, tutazungumzia jinsi ya kuamua ikiwa tutaendelea kujifunza naye au la.