Maelezo ya Chini
a Tangu Pentekoste ya mwaka wa 33 W.K., Yehova amewapatia baadhi ya Wakristo tumaini zuri ajabu—tumaini la kutawala pamoja na Mwana wake mbinguni. Hata hivyo, Wakristo hao wanajuaje kwamba wamechaguliwa ili wapate pendeleo hilo la pekee? Ni nini ambacho hutukia mtu anapopata mwaliko huo? Makala hii inategemea makala ya Mnara wa Mlinzi ya Januari 2016 na itajibu maswali hayo yenye kusisimua.