Maelezo ya Chini
c UFAFANUZI WA MANENO: Muhuri. Mkristo mtiwa-mafuta hatiwi muhuri wa kudumu hadi wakati fulani kabla ya kufa akiwa mwaminifu au wakati fulani kabla ya dhiki kuu kuanza.—Efe. 4:30; Ufu. 7:2-4; tazama “Maswali Kutoka kwa Wasomaji” katika gazeti Mnara wa Mlinzi la Aprili 2016.