Maelezo ya Chini
a Yesu alisema kwamba upendo ndiyo sifa inayowatambulisha Wakristo wa kweli. Kuwapenda ndugu na dada zetu hutuchochea tuwe wafanya amani, tusiwe na ubaguzi, na tuwe wakaribishaji wageni. Huenda isiwe rahisi kufanya hivyo sikuzote. Makala hii inatoa mapendekezo hususa ya jinsi tunavyoweza kuendelea kupendana sana kutoka moyoni.