Maelezo ya Chini
a Mtazamo wetu kuhusu eneo letu unaweza kuwa na matokeo gani inapohusu jinsi tunavyohubiri na kufundisha? Makala hii inazungumzia jinsi Yesu na mtume Paulo walivyowaona watu waliowahubiria na jinsi tunavyoweza kuwaiga kwa kuzingatia imani, mapendezi, na uwezekano wa watu tunaowahubiria kuwa watumishi wa Yehova.