Maelezo ya Chini
a Leo, watumishi wengi wa Yehova huteseka kwa sababu ya umri kusonga, na wengine wengi wanakabiliana na magonjwa yenye kudhoofisha. Na nyakati nyingine sisi sote huchoka. Hivyo, huenda suala la kushiriki katika mbio likaonekana kuwa jambo gumu. Makala hii itazungumzia jinsi ambavyo sisi sote tunaweza kukimbia kwa uvumilivu na kushinda mbio za uzima ambazo mtume Paulo alizungumzia.