Maelezo ya Chini
a Katika makala iliyotangulia, tulizungumzia hazina kadhaa kutoka kwa Mungu zinazoonekana kwa macho. Katika makala hii tutakazia kuhusu hazina ambazo hatuwezi kuziona kwa macho na jinsi tunavyoweza kuonyesha kwamba tunazithamini. Pia, makala hii itaongeza uthamini wetu kwa Yehova Mungu ambaye ndiye Chanzo cha hazina hizo.