Maelezo ya Chini
b UFAFANUZI WA MANENO: Mhubiri asiyetenda ni yule ambaye hajaripoti utendaji wowote katika kazi ya kuhubiri na kufanya wanafunzi kwa miezi sita au zaidi. Ingawa hivyo, wahubiri hao wasiotenda bado ni ndugu na dada zetu, na tunawapenda.