Maelezo ya Chini
a Yehova anataka wale ambao wameacha kushirikiana na kutaniko wamrudie. Tunaweza kufanya mengi ili kuwatia moyo wale walio tayari kukubali mwaliko huu wa Yehova: “Nirudieni.” Katika makala hii, tutazungumzia jinsi tunavyoweza kuwasaidia wamrudie Yehova