Maelezo ya Chini
b Pindi fulani machapisho yetu yamefundisha kwamba jina la Yehova halihitaji kutetewa kwa sababu hakuna yeyote ambaye amewahi kutilia shaka haki ya Yehova ya kuitwa kwa jina hilo. Hata hivyo, uelewaji uliorekebishwa ulitolewa kwenye mkutano wa kila mwaka uliofanywa 2017. Mwenyekiti alieleza hivi: “Kwa ufupi, si kosa kusali kwamba jina la Yehova litetewe kwa sababu kwa kweli sifa yake inapaswa kutetewa au kuondolewa lawama.”—Tazama programu ya Januari 2018 kwenye jw.org®. Tafuta kwenye MAKTABA > JW BROADCASTING®.