Maelezo ya Chini
a Yesu aliwaalika wavuvi wenye bidii na wanyenyekevu wawe wanafunzi wake. Leo, anaendelea kuwaalika watu wenye sifa kama hizo wawe wavuvi wa watu. Makala hii itazungumzia kile ambacho wanafunzi wa Biblia wanaosita kukubali mwaliko wa Yesu wanahitaji kufanya.