Maelezo ya Chini
a Makala iliyotangulia iliwatia moyo wanafunzi wa Biblia wanaofanya maendeleo wakubali mwaliko wa Yesu na kuwa wavuvi wa watu. Makala hii, itazungumzia njia tatu zitakazowasaidia wahubiri wote, iwe ni wapya au wenye uzoefu, kuimarisha azimio lao la kuendelea kufanya kazi ya kuhubiri Ufalme hadi Yehova atakaposema imetosha.