Maelezo ya Chini
c Kitabu kimoja cha marejeo kinasema hivi: “Wanafunzi waliketi miguuni pa walimu wao. Walifanya hivyo walipokuwa wakijiandaa kuwa walimu. Hata hivyo, wanawake hawakuruhusiwa kuwa walimu. Hivyo, inaelekea wanaume wengi wa Kiyahudi wangeshangazwa kumwona Maria ameketi miguuni pa Yesu, na akiwa na hamu ya kujifunza kutoka kwa Yesu.”