Maelezo ya Chini
a Kumfundisha mtu jambo fulani, kunamaanisha kumsaidia “afikiri, ahisi, au atende kwa njia mpya au kwa njia tofauti.” Andiko letu la mwaka wa 2020, Mathayo 28:19, limetukumbusha umuhimu wa kujifunza pamoja na watu na kuwafundisha jinsi ya kuwa wanafunzi waliobatizwa wa Yesu Kristo. Katika makala hii na ile inayofuata, tutaona jinsi tunavyoweza kuboresha uwezo wetu wa kufanya kazi hii muhimu sana.