Maelezo ya Chini
b UFAFANUZI WA MANENO: Ikiwa unazungumza na watu kuhusu Biblia kwa ukawaida na kwa mpangilio hususa, hilo linamaanisha kwamba unaongoza funzo la Biblia. Funzo hilo linaweza kuripotiwa wakati limeongozwa mara mbili baada ya kumwonyesha mwanafunzi jinsi ya kujifunza, na ikiwa kuna sababu ya kuamini kwamba mtu huyo ataendelea kujifunza.