Maelezo ya Chini
a Yesu aliwaamuru wafuasi wake wafanye wanafunzi na kuwafundisha kushika mambo yote aliyokuwa amewaamuru. Makala hii inazungumzia jinsi tunavyoweza kufuata maagizo ya Yesu. Habari tutakayozungumzia inategemea kwa kadiri fulani makala iliyochapishwa katika gazeti la Mnara wa Mlinzi la JulaiĀ 1, 2004, ukurasa wa 14-19.