Maelezo ya Chini
a Sehemu ya pili ya 1 Wakorintho sura ya 15 inazungumzia kuhusu ufufuo, hasa ule wa Wakristo watiwa-mafuta. Hata hivyo, yale ambayo Paulo aliandika yanawahusu pia kondoo wengine. Makala hii itaonyesha jinsi tumaini la ufufuo linavyopaswa kuathiri jinsi tunavyoishi sasa na kutupatia sababu ya kutazamia wakati ujao.