Maelezo ya Chini
a Yosefu, Naomi na Ruthu, Mlawi fulani, na mtume Petro walipitia hali zenye kuvunja moyo. Katika makala hii, tutaona jinsi Yehova alivyowafariji na kuwaimarisha. Pia, tutachunguza mambo tunayoweza kujifunza kutokana na mifano yao na kutokana na jinsi Mungu alivyoshughulika nao kwa huruma.