Maelezo ya Chini
a Mwanamume anapooa anakuwa kichwa cha familia yake mpya. Katika makala hii, tutazungumzia maana ya ukichwa, kwa nini Yehova alianzisha mpango huo, na wanaume wanaweza kujifunza nini kutokana na mfano uliowekwa na Yehova na Yesu. Katika makala ya pili kwenye mfululizo huu, tutachunguza mambo ambayo mume na mke wanaweza kujifunza kutoka kwa Yesu na mifano mingine ya Biblia. Na makala ya mwisho kwenye mfululizo huu, itazungumzia mpango wa ukichwa kutanikoni.