Maelezo ya Chini
a Kwa sasa, si kila mmoja wetu aliye na pendeleo la kuongoza funzo la Biblia. Hata hivyo, sote tunaweza kumsaidia mtu fulani afanye maendeleo na kufikia ubatizo. Katika makala hii, tutaona jinsi kila mmoja wetu anavyoweza kumsaidia mwanafunzi wa Biblia afikie lengo hilo.